HABARI MPYA

Tuesday, February 19, 2013

WANACHAMA ZAIDI TAWI LA CCM NAPOLI 2013

Mwenyekiti wa tawi la Chama Cha Mapinduzi ndugu Abdulrahamani A.Alli  akiwa na Katibu uenezi na Siasa wa tawi wakati wa kumuapisha mwanachama mpya wa CCM. 

Mwenyekiti akitoa maelezo mafupi kwa mwanachama mpya wa CCM wakati wa kukabidhi kadi ya uanachama.

Katibu  mwanezi na siasa wa tawi  ndugu Allan Bendera  akisalimiana na mwanachama mpya ndugu Jeremiah  William  Maselle




Mwenyekiti wa tawi la Napoli ndugu Abdulrahamani A.Alli amewatangazia  wote waliojaza fomu za kujiunga na Chama cha Mapinduzi tawi la Napoli kuwa watafahamishwa baada ya kikao cha Halmashauri kuu ya tawi.

No comments:

Post a Comment