HABARI MPYA

Saturday, November 6, 2021

MWENYEKITI WA CHAMA AFUNGA MAFUNZO YA MAKATIBU
























Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Ndugu Samia Suluhu Hassan amefunga mafunzo ya makatibu wa CCM wa wilaya na mikoa katika ukumbi wa NEC Makao Makuu ya Chama Jijini Dodoma leo Jumamosi tarehe 6 Novemba, 2021 yaliyofanyika kwa siku nne kuanzia tarehe 3 Novemba, 2021. 

#ChamaImara

#KaziIendelee