HABARI MPYA

Friday, October 4, 2013

WANACHAMA WAPYA TAWI LA NAPOLI




Mwanachama Mpya GABRIEL MOSES akikabidhiwa kadi


Mwenyekiti wa tawi la Chama Cha Mapinduzi CCM tawi la Napoli  pichani akiwakabidhi kadi wanachama wapya.
Nae  ndugu FRANCIS MWEREKE akikabidhiwa kadi na mwenyekiti wa tawi la CCM Napoli ndugu Abdulrahaman A.Alli. Zoezi hili fupi lilifanyika katika ofisi za tawi  mjini Napoli. KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!!

No comments:

Post a Comment